Mvua kubwa inyeshayo jijini Dar imewaacha wakazi wake katika wakati mgumu pale wakikosa mahali pa kulala kwan maji yameingia mpaka ndani mwao hii inatokana na mlundikano wa watu wengi katika jiji la Dar huku miundo mbinu ikiwa hafifu kutokidhi idadi ya wakazi. Tunawapa pole wote waliopatwa na shida hii. MUNGU AWALINDE.

Share To:
Magpress

MagPress

Vestibulum bibendum felis sit amet dolor auctor molestie. In dignissim eget nibh id dapibus. Fusce et suscipit orci. Aliquam sit amet urna lorem. Duis eu imperdiet nunc, non imperdiet libero.

0 comments so far,add yours