Jumuiya ya wanataaluma wa chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kushirikiana na  ITV/REDIO ONE wamekubalianan kuandaa  midahalo ya wagombea urais kuelekea katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu ambapo itv/redio one watakuwa wanarusha midahalo hiyo mja kwa moja.
Makubalinia hayo yamefanyika jijini dar es salaam baina ya  mkurugenzi mtendaji  wa ITV/Redio One Joyce Mhavile na mwenyekiti wa udasa Profesa Kitilya Mkumbo ambapo mwenyekiti  huyo amesema uwepo wa midahalo hiyo ni  nafasi nzuri kwa wagombea kunadi sera  zao.
 
Kwa upande wake mkurugenzi wa ITV /Redio One amesema wao kama kityo cha  habari wanaamini midahalo hiyo ni  nguzo imara kwa wasomi kuweza kuchambua  hoja za wagombea kabla ya kufanya maamuzi ya kuwachagua ama la,Kama  ilivyo ada katika mikutano baadhi ya waandishi w habari walipata nafasi ya kuuliza  maswali mbalimbali na kupatiwa  majibu  na meza kuu.
 
Share To:
Magpress

MagPress

Vestibulum bibendum felis sit amet dolor auctor molestie. In dignissim eget nibh id dapibus. Fusce et suscipit orci. Aliquam sit amet urna lorem. Duis eu imperdiet nunc, non imperdiet libero.

0 comments so far,add yours